MAISHA JUU YA WOKOVU WA MUNGU
Thursday, 2 April 2015
KUHUSU UDUMA KANISANI
MUPANGILIYO WA MAFUNDISHO
Kuna huduma ngapi?
kuna huduma nyingi,ila kuna tano zenye zina julikana sana
*utume
*unabii
*uhubiri
*ushungaji
*mwalimu
Huduma hizi zote ziko ndani ya jesu na ndani mwake ndimo tunashuta huduma zote.
Na kuna huduma zingine zenye hazitajwi hapa akini ziko tena nyingi.mufano:
*uiimbaji
*uombaji
*ushemasi
*kusaidiya wa jane
*huduma kwa kanisa
Zote ni kwaajili ya kuendelesha kazi ya Mungu ili mwili wa christu iwe na nguvu,tunaweza soma ndani ya waefeso 4:11,luka 9:
MUSINGI WAHUDUMA
Misingi wa huduma ni ndani ya jesu chritu kwakuwa yeye ni upendo, umoja
hizi huduma tano ni mufafano wa vidole tano vya mukononi vina saididiya kwani kimoja kike umiya vyote vina teswa,mikate tano ambao yesu alibariki na samaki mbili zenye yesu alibarikiyaka naku kulisha umati ya watu wengi kabisa.yani piya hizo huduma za weza kutu saidiya kubadilisha ulimwengu kwa hizo wakati tunaishi.tunaona ginsi watu mbalimbali na taifa mbalimbali na kabila mbalimbali wameasi sheriya za Mungu lakini hizo huduma zina nguvu yaku kubadirisha na watu kumurudiliya Mungu
hizihuduma tano nividole vyako tano vinasaidiana moja ikiumia vinateswavyote.
mikatetano niudumatano nasamaki mbili nimaombi ndani yahizihuduma.
yesu anawapa wanafunziwake mikate tano nasamaki mbili lakini chakula ikakosa wakuikula nihizi hudumatano .
Chap ; 1
Mutume mition naire
A . nikupeleka habari njema namisaada kwa watuambao hawajalisikia ka nenolaMungusoma soma marko 16 - 15
kuna tofauti zahuduma. nakuna tofauti kati yamuhubiri na mutume . luka 6 - 13
kilamwanafunzi wa yesu nimuhubiri kila mukristo maana ana hubiri kwamatendo wala ikiwa anaujasiri waneno la Mungu pia anahubiri kuleta watu kwayesukristo kwa kua wotewalio mwamini aliwapauwezo wakufanyika wana waMungu lakini simutume.
b. yesu alikuwa nawanafunzi wengisana kuna mahali alituma 70 kunamahali
alituma 120 nawalihubiri lakini mitume walikuwa 12 .
c . Kazi ya utume ina itajika wakati gani ?
kaziyautume ina itajika wakati ambapo hakuna hakuna neno la Mungu .
namahali ambapohakuna neno naikiwa watu wamepungukiwa nariziki wala mavazi kwamufano . afrika ilipokeya injili kwamikono ya wamition naires namavazi. chunvi nakazalika.
2. Nabii
a . nimutu anayeleta neno la Mungu kwa watu .
anatafsiri anafunuliwa mamboyajayo .
pia ana weza kuelewa mambo yajayo kabla hayajatimia anakaa ndani yahekalu
aundani yachumba chamaombi akitafuta uso wa Mungu kwamufano.
nabii elisha alikuwa nachumba nafasiyakuombea .
b . sheria yawaisraeli nabii alikuwa anakaa katikagorofa sauli alikutana nasamweli wakaingia katika gorofa. 1 samweli 9 - 25
nimutu waheshima akiwa hayupokatikamuji wake soma luka 4 -22 - 24
c . kunamambo mawili yenabii anakuwa nayo .
1 .baraka
2 .laana
baraka - ukienda mbele yanabii naumejitakasa pamoja nazawadi zako utapata baraka 1 samweli 9 - 8 yesu anasema ukikaribisha nabii utapata kwailezawadi yaunabii aobaraka 1wafalme 17 -15
2 . laana - elisha alipo laani watoto hawa kujuwa jinsi yakwenda mbele yanabii wa Mungu mawe yakageuka dubu yakawameza wote zikawa raruwawote wakafa . elia akalaani muji wote ukawa nanjaa nabila nvua kunyesha miaka zaidi yatatu yote Mungu atusaidiye sana atupe maarifa tupate kupona .
ELIMU YA WOKOVU
1. UTAKASO
Utakaso ni neno linzumungwalo ndani ya hekalu wakati wa ku muabudu Mungu. Mtu anaye hesabiwa haki na kuzaliwa tena,kwa muda huu maisha siyo yake ten bali ni christu anaye ishi ndani yake.tunaweza pata maneno haya ndani ya kitabu cha wagalatiya 2:2,wakorinton wakwanza 6:19-20,waroma 12:1-2.Luka atuambiya kama ville ana alijitowa kumuhabubu Mungu hekaluni luka 2:37.wa christu wamenunuliwa kwa damu ya christu ili wamwabudu na kumurudishiya sifa na shukrani.
2. MUCHRISTU NI NANI?
a.Ni mutu anayeokolewa kwa neema ya Mungu:yani alihesabiwa haki na kuwekwa huru na kukaa pamoja na wale wenye haki.
b.Ni mutu aliye zaliwa upya ndani ya jamaa ya Mungu.anapokeya baraka zote za jamaa yake.kwa hiyo okovu waje wajengwa kwa mambo ma tatu:
*kuhesabiwa haki
*kuzaliwa tena
*utakaso
kwakuhesabiwa haki amekuwa mwenye haki,kwakuzaliwa tena mtoto wa Mungu,na kwakutakaswa yumutatifu na apashwa kuendeleya kuabudu na kumutumikiya Mungu luka 2:37.
*kuhesabiwa haki
*kuzaliwa tena
*na utakaso
Mambo haya matatu yaitwa "wokovu"mzima.mambo haya ao baraka hizi za fwata moja baada ya ingine ao zafika maramoja kwa wakati moja?kuna muungo wa maneno kwamba mwenye dhambi huwekwa haki katika uhusiyano na Mungu.maisha yake yalikuwa ya ovyoovyo bila mupango wowote,kwa hiyo apashwa kubadilishwa.kwanza alikuwa akiishi kwaji ya dhambi na duniya.na anapashwa kutengwa kwa maisha mapya na utumishi,hata hivyo mambo haya matatu huja maramonja na wala haiwezekane kuyatenga hasa.ijapokuwa twajaribu kuyatenga wakati wakufundisha.hatuwezi kuanza kufikiri juu ya mtu aliye hesabiwa haki tusifikiri juu yake kama amezaliwa tena.Na piya tusi fikiri tena juu yake mtu aliye zaliwa tusifikiri kama ametakaswa.hakuna wokovu kamili bila mambo haya matatu yanaonyesha musingi wapande tatu ambao maishi ya muchristu ya jengwa juu yake.aminiyaye christu kama mwokozi wake atatendewa hayo kwa mara moja.kwakujifunza twaweza kugawan *kuzaliwa tenaya na kuyatenga kama badiliko la inje.yani kuhesabiwa haki na kufwatana na badiliko ya nda,kuzaliwa tena.na hii ya fwata nakujitowa kwa utumishi wa Mungu.
![]() |
| tuna takiwa kusoma neno ilitupate kutakaswa |
Utakaso ni neno linzumungwalo ndani ya hekalu wakati wa ku muabudu Mungu. Mtu anaye hesabiwa haki na kuzaliwa tena,kwa muda huu maisha siyo yake ten bali ni christu anaye ishi ndani yake.tunaweza pata maneno haya ndani ya kitabu cha wagalatiya 2:2,wakorinton wakwanza 6:19-20,waroma 12:1-2.Luka atuambiya kama ville ana alijitowa kumuhabubu Mungu hekaluni luka 2:37.wa christu wamenunuliwa kwa damu ya christu ili wamwabudu na kumurudishiya sifa na shukrani.
2. MUCHRISTU NI NANI?
a.Ni mutu anayeokolewa kwa neema ya Mungu:yani alihesabiwa haki na kuwekwa huru na kukaa pamoja na wale wenye haki.
b.Ni mutu aliye zaliwa upya ndani ya jamaa ya Mungu.anapokeya baraka zote za jamaa yake.kwa hiyo okovu waje wajengwa kwa mambo ma tatu:
*kuhesabiwa haki
*kuzaliwa tena
*utakaso
kwakuhesabiwa haki amekuwa mwenye haki,kwakuzaliwa tena mtoto wa Mungu,na kwakutakaswa yumutatifu na apashwa kuendeleya kuabudu na kumutumikiya Mungu luka 2:37.
*kuhesabiwa haki
*kuzaliwa tena
*na utakaso
Mambo haya matatu yaitwa "wokovu"mzima.mambo haya ao baraka hizi za fwata moja baada ya ingine ao zafika maramoja kwa wakati moja?kuna muungo wa maneno kwamba mwenye dhambi huwekwa haki katika uhusiyano na Mungu.maisha yake yalikuwa ya ovyoovyo bila mupango wowote,kwa hiyo apashwa kubadilishwa.kwanza alikuwa akiishi kwaji ya dhambi na duniya.na anapashwa kutengwa kwa maisha mapya na utumishi,hata hivyo mambo haya matatu huja maramonja na wala haiwezekane kuyatenga hasa.ijapokuwa twajaribu kuyatenga wakati wakufundisha.hatuwezi kuanza kufikiri juu ya mtu aliye hesabiwa haki tusifikiri juu yake kama amezaliwa tena.Na piya tusi fikiri tena juu yake mtu aliye zaliwa tusifikiri kama ametakaswa.hakuna wokovu kamili bila mambo haya matatu yanaonyesha musingi wapande tatu ambao maishi ya muchristu ya jengwa juu yake.aminiyaye christu kama mwokozi wake atatendewa hayo kwa mara moja.kwakujifunza twaweza kugawan *kuzaliwa tenaya na kuyatenga kama badiliko la inje.yani kuhesabiwa haki na kufwatana na badiliko ya nda,kuzaliwa tena.na hii ya fwata nakujitowa kwa utumishi wa Mungu.
Tuesday, 31 March 2015
ASILI YA WOKOVU
Bwana yesukristo kwa ajili yamauti yakemusalabani,alinunua wokovu kwaajili ya wanadamu nakutupatanisha na Mungu. jinsigani wokovu huu ulitayarishua
na Mungu nakupokelewa nawatu,
elimu juuyamatendo yawokovu inayo sehemutatu kamahizi zifwatazo kwaupande waMungu.
1,kuhesabiwa haki
2,kuzaliwa tena
3,utakaso
napiaukweli wa mtukupokea wokovu huu kwaupande wamtu kunasehemu tatu kamahizi.
1,kutubu [toba]
2,imani
3,utii
wokovu nini/
a] kuhesabiwa haki;
kuhesabiwa haki niusemi wabaraza yahukumu. mufungwa mwenyi hatia aumwenyi kuasi sheria naambaye angoja kupokeya azabuyakosa lake.
lakini kwaajili yamauti ya yesu musalabani,nakwakuamini Bwanayesu,Mungu mwamuzi,badala ya kumwukumu azabu anamwukumu kama hanahatia yoyote.
Mungu anamuhesabia haki kwaajili yamauti ya yesu nakwaimani,waroma 5:1 ,
waroma 8:1
b] kuzaliwatena,
kuzaliwa upya nihaliyetu yandani nakufanywa mwana ndiyohaliyetuyanje. waroma 9:4
hiihushugulika na usemi aoluga yajamaa.
tunapozaliwakwamwili tuwafukwasababuyamakosa nazambi. waefeso 2:1
[mauti yaroho nanafsi]
lakini wakati tunapopokea Bwana yesu yanikuzaliwatena,tunapokeabaraka zandani ya jamaa yakiroho: yanikuwa watoto waMungu, waroma 8:15, yohana 1:12
wakristo wanazombili kuandani yajamaa yamwili nakua ndaniyaMungu kwaimani.-yohana 1:12 .
twahitaji maishamupya ambayo imetayarishwa natendoyarohoMtakatifu kazihiyi yaitwa``kuzaliwatena'' yeyealiepokelewa anakuwa mtotowaMungu namojawajamaa ya Mungu - wagalatia 4:5-6, waroma 8:1-23
Subscribe to:
Posts (Atom)















*kuzaliwa tena
*kuzaliwa tena
*kuzaliwa tenakkk