![]() |
| tuna takiwa kusoma neno ilitupate kutakaswa |
Utakaso ni neno linzumungwalo ndani ya hekalu wakati wa ku muabudu Mungu. Mtu anaye hesabiwa haki na kuzaliwa tena,kwa muda huu maisha siyo yake ten bali ni christu anaye ishi ndani yake.tunaweza pata maneno haya ndani ya kitabu cha wagalatiya 2:2,wakorinton wakwanza 6:19-20,waroma 12:1-2.Luka atuambiya kama ville ana alijitowa kumuhabubu Mungu hekaluni luka 2:37.wa christu wamenunuliwa kwa damu ya christu ili wamwabudu na kumurudishiya sifa na shukrani.
2. MUCHRISTU NI NANI?
a.Ni mutu anayeokolewa kwa neema ya Mungu:yani alihesabiwa haki na kuwekwa huru na kukaa pamoja na wale wenye haki.
b.Ni mutu aliye zaliwa upya ndani ya jamaa ya Mungu.anapokeya baraka zote za jamaa yake.kwa hiyo okovu waje wajengwa kwa mambo ma tatu:
*kuhesabiwa haki
*kuzaliwa tena
*utakaso
kwakuhesabiwa haki amekuwa mwenye haki,kwakuzaliwa tena mtoto wa Mungu,na kwakutakaswa yumutatifu na apashwa kuendeleya kuabudu na kumutumikiya Mungu luka 2:37.
*kuhesabiwa haki
*kuzaliwa tena
*na utakaso
Mambo haya matatu yaitwa "wokovu"mzima.mambo haya ao baraka hizi za fwata moja baada ya ingine ao zafika maramoja kwa wakati moja?kuna muungo wa maneno kwamba mwenye dhambi huwekwa haki katika uhusiyano na Mungu.maisha yake yalikuwa ya ovyoovyo bila mupango wowote,kwa hiyo apashwa kubadilishwa.kwanza alikuwa akiishi kwaji ya dhambi na duniya.na anapashwa kutengwa kwa maisha mapya na utumishi,hata hivyo mambo haya matatu huja maramonja na wala haiwezekane kuyatenga hasa.ijapokuwa twajaribu kuyatenga wakati wakufundisha.hatuwezi kuanza kufikiri juu ya mtu aliye hesabiwa haki tusifikiri juu yake kama amezaliwa tena.Na piya tusi fikiri tena juu yake mtu aliye zaliwa tusifikiri kama ametakaswa.hakuna wokovu kamili bila mambo haya matatu yanaonyesha musingi wapande tatu ambao maishi ya muchristu ya jengwa juu yake.aminiyaye christu kama mwokozi wake atatendewa hayo kwa mara moja.kwakujifunza twaweza kugawan *kuzaliwa tenaya na kuyatenga kama badiliko la inje.yani kuhesabiwa haki na kufwatana na badiliko ya nda,kuzaliwa tena.na hii ya fwata nakujitowa kwa utumishi wa Mungu.



*kuzaliwa tena
*kuzaliwa tena
*kuzaliwa tenakkk
No comments:
Post a Comment