Thursday, 2 April 2015
KUHUSU UDUMA KANISANI
MUPANGILIYO WA MAFUNDISHO
Kuna huduma ngapi?
kuna huduma nyingi,ila kuna tano zenye zina julikana sana
*utume
*unabii
*uhubiri
*ushungaji
*mwalimu
Huduma hizi zote ziko ndani ya jesu na ndani mwake ndimo tunashuta huduma zote.
Na kuna huduma zingine zenye hazitajwi hapa akini ziko tena nyingi.mufano:
*uiimbaji
*uombaji
*ushemasi
*kusaidiya wa jane
*huduma kwa kanisa
Zote ni kwaajili ya kuendelesha kazi ya Mungu ili mwili wa christu iwe na nguvu,tunaweza soma ndani ya waefeso 4:11,luka 9:
MUSINGI WAHUDUMA
Misingi wa huduma ni ndani ya jesu chritu kwakuwa yeye ni upendo, umoja
hizi huduma tano ni mufafano wa vidole tano vya mukononi vina saididiya kwani kimoja kike umiya vyote vina teswa,mikate tano ambao yesu alibariki na samaki mbili zenye yesu alibarikiyaka naku kulisha umati ya watu wengi kabisa.yani piya hizo huduma za weza kutu saidiya kubadilisha ulimwengu kwa hizo wakati tunaishi.tunaona ginsi watu mbalimbali na taifa mbalimbali na kabila mbalimbali wameasi sheriya za Mungu lakini hizo huduma zina nguvu yaku kubadirisha na watu kumurudiliya Mungu
hizihuduma tano nividole vyako tano vinasaidiana moja ikiumia vinateswavyote.
mikatetano niudumatano nasamaki mbili nimaombi ndani yahizihuduma.
yesu anawapa wanafunziwake mikate tano nasamaki mbili lakini chakula ikakosa wakuikula nihizi hudumatano .
Chap ; 1
Mutume mition naire
A . nikupeleka habari njema namisaada kwa watuambao hawajalisikia ka nenolaMungusoma soma marko 16 - 15
kuna tofauti zahuduma. nakuna tofauti kati yamuhubiri na mutume . luka 6 - 13
kilamwanafunzi wa yesu nimuhubiri kila mukristo maana ana hubiri kwamatendo wala ikiwa anaujasiri waneno la Mungu pia anahubiri kuleta watu kwayesukristo kwa kua wotewalio mwamini aliwapauwezo wakufanyika wana waMungu lakini simutume.
b. yesu alikuwa nawanafunzi wengisana kuna mahali alituma 70 kunamahali
alituma 120 nawalihubiri lakini mitume walikuwa 12 .
c . Kazi ya utume ina itajika wakati gani ?
kaziyautume ina itajika wakati ambapo hakuna hakuna neno la Mungu .
namahali ambapohakuna neno naikiwa watu wamepungukiwa nariziki wala mavazi kwamufano . afrika ilipokeya injili kwamikono ya wamition naires namavazi. chunvi nakazalika.
2. Nabii
a . nimutu anayeleta neno la Mungu kwa watu .
anatafsiri anafunuliwa mamboyajayo .
pia ana weza kuelewa mambo yajayo kabla hayajatimia anakaa ndani yahekalu
aundani yachumba chamaombi akitafuta uso wa Mungu kwamufano.
nabii elisha alikuwa nachumba nafasiyakuombea .
b . sheria yawaisraeli nabii alikuwa anakaa katikagorofa sauli alikutana nasamweli wakaingia katika gorofa. 1 samweli 9 - 25
nimutu waheshima akiwa hayupokatikamuji wake soma luka 4 -22 - 24
c . kunamambo mawili yenabii anakuwa nayo .
1 .baraka
2 .laana
baraka - ukienda mbele yanabii naumejitakasa pamoja nazawadi zako utapata baraka 1 samweli 9 - 8 yesu anasema ukikaribisha nabii utapata kwailezawadi yaunabii aobaraka 1wafalme 17 -15
2 . laana - elisha alipo laani watoto hawa kujuwa jinsi yakwenda mbele yanabii wa Mungu mawe yakageuka dubu yakawameza wote zikawa raruwawote wakafa . elia akalaani muji wote ukawa nanjaa nabila nvua kunyesha miaka zaidi yatatu yote Mungu atusaidiye sana atupe maarifa tupate kupona .
Subscribe to:
Post Comments (Atom)












No comments:
Post a Comment